Proverbs 17:24 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu mwenye busara lengo lake ni hekima, lakini mpumbavu hupania kila kitu duniani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu wa ufahamu huitazama hekima, lakini macho ya mpumbavu huhangaika hadi kwenye miisho ya dunia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hekima huwa machoni pake mwenye ufahamu; Bali macho ya mpumbavu huwa katika ncha za dunia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu mwenye busara lengo lake ni hekima, lakini mpumbavu hupania kila kitu duniani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu wa ufahamu huitazama hekima, lakini macho ya mpumbavu huhangaika hadi kwenye miisho ya dunia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu wa ufahamu huitazama hekima, lakini macho ya mpumbavu huhangaika hadi kwenye miisho ya dunia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hekima huwa machoni pake mwenye ufahamu; Bali macho ya mpumbavu huwa katika ncha za dunia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu mwenye busara lengo lake ni hekima, lakini mpumbavu hupania kila kitu duniani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Machoni pake mtambuzi upo werevu wa kweli, lakini macho ya mpumbavu hutembea mapeoni kwa nchi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hekima huwa machoni pake mwenye ufahamu; Bali macho ya mpumbavu huwa katika ncha za dunia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hekima ni mbele ya uso wa mwenye akili, lakini macho ya mupumbafu yanaangalia kwa miisho ya dunia.