Proverbs 17:25 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtoto mpumbavu ni huzuni kwa baba yake, na uchungu kwa mama yake mzazi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwana mpumbavu huleta huzuni kwa baba yake na uchungu kwa yeye aliyemzaa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwana mpumbavu ni huzuni kwa babaye, Na uchungu kwa mamaye aliyemzaa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtoto mpumbavu ni huzuni kwa baba yake, na uchungu kwa mama yake mzazi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mwana mpumbavu huleta huzuni kwa baba yake na uchungu kwa yeye aliyemzaa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mwana mpumbavu huleta huzuni kwa baba yake na uchungu kwa yeye aliyemzaa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwana mpumbavu ni huzuni kwa babaye, Na uchungu kwa mamaye aliyemzaa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtoto mpumbavu ni huzuni kwa baba yake, na uchungu kwa mama yake mzazi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwana mpumbavu humsikitisha baba yake, naye mama yake aliyemzaa humpatia machungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwana mpumbavu ni huzuni kwa babaye, Na uchungu kwa mamaye aliyemzaa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutoto mupumbafu ni huzuni kwa baba yake, na uchungu kwa mama yake muzazi.