Proverbs 17:26 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Si vizuri kumtoza faini mtu asiye na hatia; ni kosa kumchapa viboko muungwana.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Si vizuri kumwadhibu mtu asiye na hatia, au kuwapiga sana maafisa kwa ajili ya uadilifu wao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena kumwadhibu mwenye haki si vizuri; Wala si kwema kuwapiga wakuu kwa unyofu wao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Si vizuri kumtoza faini mtu asiye na hatia; ni kosa kumchapa viboko muungwana.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sio vizuri kumwadhibu mtu asiye na hatia, au kuwapiga sana maafisa kwa ajili ya uadilifu wao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Si vizuri kumwadhibu mtu asiye na hatia, au kuwapiga sana maafisa kwa ajili ya uadilifu wao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena kumwadhibu mwenye haki si vizuri; Wala si vyema kuwapiga wakuu kwa unyofu wao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Si vizuri kumtoza faini mtu asiye na hatia; ni kosa kumchapa viboko muungwana.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu asiyekosa haifai humtoza fedha, wala hupiga wakuu kwa ajili ya unyofu wao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena kumwadhibu mwenye haki si vizuri; Wala si kwema kuwapiga wakuu kwa unyofu wao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Si vizuri kumwazibu mutu asiyekuwa na kosa; ni kosa kuwapiga fimbo wenye heshima.