Proverbs 17:27 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Asiyesema sana ana maarifa; mtu mtulivu ni mwenye busara.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mwenye maarifa hutumia maneno kwa kujizuia, naye mtu mwenye ufahamu ana moyo wa utulivu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Azuiaye maneno yake ni mwenye maarifa; Na mwenye roho ya utulivu ana busara.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Asiyesema sana ana maarifa; mtu mtulivu ni mwenye busara.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mwenye maarifa hutumia maneno kwa kujizuia, naye mtu mwenye ufahamu ana moyo wa utulivu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mwenye maarifa hutumia maneno kwa kujizuia, naye mtu mwenye ufahamu ana moyo wa utulivu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Azuiaye maneno yake ni mwenye maarifa; Na mwenye roho ya utulivu ana busara.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Asiyesema sana ana maarifa; mtu mtulivu ni mwenye busara.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ayazuiaye maneno yake ni mwenye ujuzi wa kweli, naye aitulizaye roho yake ni mtu mtambuzi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Azuiaye maneno yake ni mwenye maarifa; Na mwenye roho ya utulivu ana busara.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Asiyesema sana ana maarifa; mutu mutulivu ni mwenye ufahamu.