Proverbs 17:28 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hata mpumbavu akinyamaza huonekana ana hekima; akifunga mdomo wake huonekana kuwa mwenye akili.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hata mtu mpumbavu hudhaniwa kuwa na hekima akinyamaza, na mwenye ufahamu akiuzuia ulimi wake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima; Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hata mpumbavu akinyamaza huonekana ana hekima; akifunga mdomo wake huonekana kuwa mwenye akili.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hata mtu mpumbavu hudhaniwa kuwa na hekima kama akinyamaza, na mwenye ufahamu kama akiuzuia ulimi wake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hata mtu mpumbavu hudhaniwa kuwa na hekima kama akinyamaza, na mwenye ufahamu kama akiuzuia ulimi wake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima; Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hata mpumbavu akinyamaza huonekana ana hekima; akifunga mdomo wake huonekana kuwa mwenye akili.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye mjinga akinyamaza huwaziwa kuwa mwerevu wa kweli, aifumbaye midomo yake ni mtambuzi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima; Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hata mupumbafu akinyamaza, anaonekana kuwa na hekima; akifunga kinywa chake anaonekana kuwa mwenye akili.