Proverbs 17:6 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wazee huwaonea fahari wajukuu zao; watoto huwaonea fahari wazazi wao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wana wa wana ni taji la wazee, nao wazazi ni fahari ya watoto wao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wana wa wana ndio taji ya wazee, Na utukufu wa watoto ni baba zao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wazee huwaonea fahari wajukuu zao; watoto huwaonea fahari wazazi wao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wana wa wana ni taji la wazee, nao wazazi ni fahari ya watoto wao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wana wa wana ni taji la wazee, nao wazazi ni fahari ya watoto wao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wana wa wana ndio taji la wazee, Na utukufu wa watoto ni baba zao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wazee huwaonea fahari wajukuu zao; watoto huwaonea fahari wazazi wao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kilemba cha wazee ni wana wa wana wao, nao utukufu wa wana ndio wazazi wao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wana wa wana ndio taji ya wazee, Na utukufu wa watoto ni baba zao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Taji la sifa la wazee ni wajukuu wao. Heshima ya wana ni baba yao.