Proverbs 18:1 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Anayetafuta yake tu hujitenga na wenzake; hukasirika akipewa shauri lolote jema.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu ajitengaye na wengine hufuata matakwa yake mwenyewe; hupiga vita kila shauri jema.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ajitengaye na wenzake hutafuta matakwa yake mwenyewe; Hushindana na kila shauri jema.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Anayetafuta yake tu hujitenga na wenzake; hukasirika akipewa shauri lolote jema.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu ajitengaye na wengine hufuata matakwa yake mwenyewe; hupiga vita kila shauri jema.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu ajitengaye na wengine hufuata matakwa yake mwenyewe; hupiga vita kila shauri jema.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ajitengaye na wenzake hutafuta matakwa yake mwenyewe; Hushindana na kila shauri jema.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Anayetafuta yake tu hujitenga na wenzake; hukasirika akipewa shauri lolote jema.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ajitengaye na watu hutaka kuyafanya, ayatamaniyo hukataa kwa ukali yote yafaayo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ajitengaye na wenzake hutafuta matakwa yake mwenyewe; Hushindana na kila shauri jema.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anayejitenga na wenzake anajipendelea mwenyewe; anakasirika akipewa shauri lolote jema.