Proverbs 18:11 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini tajiri hudhani mali ni ngome yake; anafikiri hayo ni ukuta mrefu unaomlinda.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mali ya tajiri ni mji wake wenye ngome, wanaudhania kuwa ukuta usioweza kurukwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mali ya mtu tajiri ni mji wake wa nguvu; Ni kama ukuta mrefu katika mawazo yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini tajiri hudhani mali ni ngome yake; anafikiri hayo ni ukuta mrefu unaomlinda.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mali ya matajiri ni mji wao wa ngome, wanaudhania kuwa ni ukuta usioweza kurukwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mali ya tajiri ni mji wake wenye ngome, wanaudhania kuwa ukuta usioweza kurukwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mali ya mtu tajiri ni mji wake wa nguvu; Ni kama ukuta mrefu katika mawazo yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini tajiri hudhani mali ni ngome yake; anafikiri hayo ni ukuta mrefu unaomlinda.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mali za mkwasi ni ngome yake yenye nguvu, katika mawazo yake ni boma liendalo juu sana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mali ya mtu tajiri ni mji wake wa nguvu; Ni kama ukuta mrefu katika mawazo yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tajiri anazani kwamba mali ni makimbilio yake; anafikiri hayo ni ukuta murefu unaomulinda.