Proverbs 18:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Majivuno ya moyoni huleta maangamizi, lakini unyenyekevu huleta heshima.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kabla ya anguko moyo wa mtu hujaa kiburi, bali unyenyekevu hutangulia heshima.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kabla ya uharibifu moyo wa mwanadamu hujivuna; Na kabla ya heshima hutangulia unyenyekevu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Majivuno ya moyoni huleta maangamizi, lakini unyenyekevu huleta heshima.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kabla ya anguko moyo wa mtu hujaa kiburi, bali unyenyekevu hutangulia heshima.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kabla ya anguko moyo wa mtu hujaa kiburi, bali unyenyekevu hutangulia heshima.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kabla ya uharibifu moyo wa mwanadamu hujivuna; Na kabla ya heshima hutangulia unyenyekevu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Majivuno ya moyoni huleta maangamizi, lakini unyenyekevu huleta heshima.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Moyo wa mtu ukijivuna, nyuma huvunjwa, nayo macheo hutanguliwa na unyenyekevu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kabla ya uharibifu moyo wa mwanadamu hujivuna; Na kabla ya heshima hutangulia unyenyekevu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Majivuno ya ndani ya moyo yanaleta maangamizi, lakini unyenyekevu unaleta heshima.