Proverbs 18:13 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kujibu kabla ya kusikiliza ni upumbavu na jambo la aibu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye ajibuye kabla ya kusikiliza, huo ni upumbavu wake na aibu yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yeye ajibuye kabla hajasikia, Ni upumbavu na aibu kwake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kujibu kabla ya kusikiliza ni upumbavu na jambo la aibu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye ajibuye kabla ya kusikiliza, huo ni upumbavu wake na aibu yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye ajibuye kabla ya kusikiliza, huo ni upumbavu wake na aibu yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yeye ajibuye kabla hajasikia, Ni upumbavu na aibu kwake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kujibu kabla ya kusikiliza ni upumbavu na jambo la aibu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kama mtu anajibu akiwa hajasikia bado, ni ujinga, nao humpatia soni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yeye ajibuye kabla hajasikia, Ni upumbavu na aibu kwake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kujibu mbele ya kusikiliza ni upumbafu na jambo la haya.