Proverbs 18:14 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Roho ya mtu huweza kustahimili ugonjwa, lakini ukiwa umevunjika moyo, utastahimilije?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Roho ya mtu itastahimili katika ugonjwa bali roho iliyovunjika ni nani awezaye kuistahimili?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Roho ya mtu itastahimili udhaifu wake; Bali roho iliyovunjika nani awezaye kuistahimili?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Roho ya mtu huweza kustahimili ugonjwa, lakini ukiwa umevunjika moyo, utastahimilije?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Roho ya mtu itastahimili katika ugonjwa bali roho iliyovunjika ni nani awezaye kuistahimili?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Roho ya mtu itastahimili katika ugonjwa bali roho iliyovunjika ni nani awezaye kuistahimili?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Roho ya mtu itastahimili udhaifu wake; Bali roho iliyovunjika nani awezaye kuistahimili?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Roho ya mtu huweza kustahimili ugonjwa, lakini ukiwa umevunjika moyo, utastahimilije?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Roho ya kiume huyavumilia magonjwa yake, lakini roho ikipondeka, yuko nani awezaye kuyavumilia?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Roho ya mtu itastahimili udhaifu wake; Bali roho iliyovunjika nani awezaye kuistahimili?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Roho ya mutu inaweza kuvumilia ugonjwa, lakini ukiwa umevunjika moyo, utavumilia namna gani?