Proverbs 18:15 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu mwenye akili hujipatia maarifa, sikio la mwenye busara hutafuta maarifa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Moyo wa mwenye ufahamu hujipatia maarifa, masikio ya mwenye hekima huyatafuta maarifa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Moyo wa mwenye busara hupata maarifa; Na sikio la mwenye hekima hutafuta maarifa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu mwenye akili hujipatia maarifa, sikio la mwenye busara hutafuta maarifa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Moyo wa mwenye ufahamu hujipatia maarifa, masikio ya mwenye hekima huyatafuta maarifa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Moyo wa mwenye ufahamu hujipatia maarifa, masikio ya mwenye hekima huyatafuta maarifa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Moyo wa mwenye busara hupata maarifa; Na sikio la mwenye hekima hutafuta maarifa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu mwenye akili hujipatia maarifa, sikio la mwenye busara hutafuta maarifa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Moyo wa mtambuzi hujipatia ujuzi, nayo masikio ya walio werevu wa kweli hutafuta ujuzi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Moyo wa mwenye busara hupata maarifa; Na sikio la mwenye hekima hutafuta maarifa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu mwenye akili anajipatia maarifa; sikio la mwenye hekima linatafuta maarifa.