Proverbs 18:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Zawadi humfungulia mtu milango; huweza kumfikisha mtu mbele ya mkuu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Zawadi humfungulia njia mtoaji, nayo humleta mbele ya wakuu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Zawadi ya mtu humpatia nafasi; Humleta mbele ya watu wakuu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Zawadi humfungulia mtu milango; huweza kumfikisha mtu mbele ya mkuu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Zawadi humfungulia njia mtoaji, nayo humleta mbele ya wakuu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Zawadi humfungulia njia mtoaji, nayo humleta mbele ya wakuu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Zawadi ya mtu humpatia nafasi; Humleta mbele ya watu wakuu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Zawadi humfungulia mtu milango; huweza kumfikisha mtu mbele ya mkuu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Vipaji vya mtu humpanulia njia, tena humfikisha kwa wakuu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Zawadi ya mtu humpatia nafasi; Humleta mbele ya watu wakuu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Zawadi inamufungulia mutu milango; inaweza kumufikisha mutu mbele ya mukubwa.