Proverbs 18:17 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ajiteteaye kwanza huonekana msema kweli, mpaka hapo mpinzani wake atakapoanza kumhoji.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye aliye wa kwanza kuleta mashtaka huonekana sahihi, hadi mwingine ajitokezapo na kumuuliza maswali.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ajiteteaye kwanza huonekana kuwa ana haki; Lakini jirani yake huja na kumchunguza.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ajiteteaye kwanza huonekana msema kweli, mpaka hapo mpinzani wake atakapoanza kumhoji.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye aliye wa kwanza kuleta mashtaka huonekana sahihi, hadi mwingine ajitokezapo na kumwuliza maswali.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye aliye wa kwanza kuleta mashtaka huonekana sahihi, hadi mwingine ajitokezapo na kumuuliza maswali.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ajiteteaye kwanza huonekana kuwa ana haki; Lakini jirani yake huja na kumchunguza.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ajiteteaye kwanza huonekana msema kweli, mpaka hapo mpinzani wake atakapoanza kumhoji.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Atokeaye wa kwanza hushinda shaurini, mwenziwe anapotokea humwumbua.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ajiteteaye kwanza huonekana kuwa ana haki; Lakini jirani yake huja na kumchunguza.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anayejitetea wa kwanza anaonekana kuwa na haki, mpaka pale mupinzani wake atakapoanza kumupinga.