Proverbs 18:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mpumbavu hapendezwi na busara; kwake cha maana ni maoni yake tu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mpumbavu hafurahii ufahamu, bali hufurahia kutangaza maoni yake mwenyewe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mpumbavu hapendezwi na ufahamu; Ila moyo wake udhihirike tu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mpumbavu hapendezwi na busara; kwake cha maana ni maoni yake tu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mpumbavu hafurahii ufahamu, bali hufurahia kutangaza maoni yake mwenyewe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mpumbavu hafurahii ufahamu, bali hufurahia kutangaza maoni yake mwenyewe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mpumbavu hapendezwi na ufahamu; Ila moyo wake udhihirike tu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mpumbavu hapendezwi na busara; kwake cha maana ni maoni yake tu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mpumbavu hapendezwi na utambuzi, hutaka tu kuyafanya yaliyomo moyoni mwake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mpumbavu hapendezwi na ufahamu; Ila moyo wake udhihirike tu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mupumbafu hapendezwi na ufahamu; kitu cha maana kwake ni maoni yake tu.