Proverbs 18:20 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maneno ya mtu yaweza kumshibisha; hutosheka kwa matokeo ya maneno yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake, atashibishwa mavuno yanayotokana na midomo yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tumbo la mtu litajazwa matunda ya kinywa chake; Atashiba mazao ya midomo yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maneno ya mtu yaweza kumshibisha; hutosheka kwa matokeo ya maneno yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake, atashibishwa mavuno yanayotokana na midomo yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake, atashibishwa mavuno yanayotokana na midomo yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tumbo la mtu litajazwa matunda ya kinywa chake; Atashiba mazao ya midomo yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maneno ya mtu yaweza kumshibisha; hutosheka kwa matokeo ya maneno yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kila mtu hulishibisha tumbo lake mazao ya kinywa chake, kweli hushiba mazao ya midomo yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tumbo la mtu litajazwa matunda ya kinywa chake; Atashiba mazao ya midomo yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maneno ya mutu yanaweza kumushibisha; anatosheka kwa matokeo ya maneno yake.