Proverbs 18:21 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ulimi una nguvu ya kufanya hai na kuua; wanaopenda kuutumia watakula matunda yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mauti na uzima viko katika uwezo wa ulimi, nao wanaoupenda watakula matunda yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ulimi una nguvu ya kufanya hai na kuua; wanaopenda kuutumia watakula matunda yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mauti na uzima viko katika uwezo wa ulimi, nao waupendao watakula matunda yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mauti na uzima viko katika uwezo wa ulimi, nao waupendao watakula matunda yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ulimi una nguvu ya kufanya hai na kuua; wanaopenda kuutumia watakula matunda yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kufa na uzima hushikwa na ulimi, autunzaye na kuupenda hula mazao yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ulimi una nguvu ya kuleta uzima na kuua; wanaopenda kuutumia watakula matunda yake.