Proverbs 18:23 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maskini huomba kwa unyenyekevu, bali tajiri hujibu kwa ukali.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu maskini huomba kuhurumiwa bali tajiri hujibu kwa ukali.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maskini hutumia maombi; Bali tajiri hujibu kwa ukali.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maskini huomba kwa unyenyekevu, bali tajiri hujibu kwa ukali.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu maskini huomba kuhurumiwa bali tajiri hujibu kwa ukali.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu maskini huomba kuhurumiwa bali tajiri hujibu kwa ukali.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maskini hutumia maombi; Bali tajiri hujibu kwa ukali.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maskini huomba kwa unyenyekevu, bali tajiri hujibu kwa ukali.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Maskini husema na kulalamika, lakini mwenye mali humjibu na kumtolea nguvu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maskini hutumia maombi; Bali tajiri hujibu kwa ukali.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Masikini anaomba kwa unyenyekevu, lakini tajiri anajibu kwa ukali.