Proverbs 18:3 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ajapo mwovu huja pia dharau; pamoja na aibu huja fedheha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Uovu unapokuja, dharau huja pia; pamoja na aibu huja lawama.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ajapo asiye haki, huja dharau pia; Na pamoja na aibu huja lawama.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ajapo mwovu huja pia dharau; pamoja na aibu huja fedheha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakati uovu unapokuja, dharau huja pia, pamoja na aibu huja lawama.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakati uovu unapokuja, dharau huja pia, pamoja na aibu huja lawama.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ajapo asiye haki, huja dharau pia; Na pamoja na aibu huja lawama.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ajapo mwovu huja pia dharau; pamoja na aibu huja fedheha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Asiyemcha Mungu anapofika, nayo mabezo hupafika, tena nayo matusi huja pamoja na matwezo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ajapo asiye haki, huja dharau pia; Na pamoja na aibu huja lawama.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwovu anapokuja, mazarau yanakuja vilevile; pamoja na haya, matusi yanakuja.