Proverbs 18:6 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maneno ya mpumbavu huleta ugomvi; kila anachosema husababisha adhabu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Midomo ya mpumbavu humletea ugomvi na kinywa chake hualika kipigo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Midomo ya mpumbavu huingia katika fitina, Na kinywa chake huita mapigo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maneno ya mpumbavu huleta ugomvi; kila anachosema husababisha adhabu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Midomo ya mpumbavu humletea ugomvi na kinywa chake hualika kipigo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Midomo ya mpumbavu humletea ugomvi na kinywa chake hualika kipigo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Midomo ya mpumbavu huingia katika fitina, Na kinywa chake huita mapigo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maneno ya mpumbavu huleta ugomvi; kila anachosema husababisha adhabu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Midomo ya mpumbavu huleta ugomvi, nacho kinywa chake huita mapigo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Midomo ya mpumbavu huingia katika fitina, Na kinywa chake huita mapigo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maneno ya mupumbafu yanaleta ugomvi; kila neno analosema linasababisha azabu.