Proverbs 18:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu mvivu kazini mwake ni ndugu yake mharibifu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu aliye mlegevu katika kazi yake ni ndugu na yule anayeharibu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yeye naye aliye mvivu katika kazi yake, Ni ndugu yake aliye mharabu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu mvivu kazini mwake ni ndugu yake mharibifu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu aliye mlegevu katika kazi yake ni ndugu na yule anayeharibu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu aliye mlegevu katika kazi yake ni ndugu na yule anayeharibu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yeye naye aliye mvivu katika kazi yake, Ni ndugu yake aliye mharibifu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu mvivu kazini mwake ni ndugu yake mharibifu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ailegezaye mikono katika kazi ni ndugu yake azitawanyaye mali zake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yeye naye aliye mvivu katika kazi yake, Ni ndugu yake aliye mharabu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu muvivu katika kazi yake ni ndugu ya muharibifu.