Proverbs 19:13 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtoto mpumbavu ni balaa kwa baba yake; na ugomvi wa mke ni kama matone ya mvua yasiyoisha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwana mpumbavu ni maangamizi ya babaye, naye mke mgomvi ni kama kutonatona kusikoisha.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwana mpumbavu ni msiba kwa babaye; Na ugomvi wa mke kama kutona-tona daima.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtoto mpumbavu ni balaa kwa baba yake; na ugomvi wa mke ni kama matone ya mvua yasiyoisha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mwana mpumbavu ni maangamizi ya babaye, naye mke mgomvi ni kama kutonatona kusikoisha.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mwana mpumbavu ni maangamizi ya babaye, naye mke mgomvi ni kama kutonatona kusikoisha.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwana mpumbavu ni msiba kwa babaye; Na ugomvi wa mke kama kudondoka kwa matone daima.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtoto mpumbavu ni balaa kwa baba yake; na ugomvi wa mke ni kama matone ya mvua yasiyoisha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwana mpumbavu humpatia baba yake mabaya, lakini magomvi ya mwanamke huwa mchirizi usiokoma kuchuruzika.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwana mpumbavu ni msiba kwa babaye; Na ugomvi wa mke kama kutona-tona daima.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutoto mupumbafu ni hasara kwa baba yake; na ugomvi wa muke ni kama matone ya mvua yasiyoisha.