Proverbs 19:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Anayeshika amri anasalimisha maisha yake; anayepuuza agizo atakufa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye ambaye hutii mafundisho huulinda uhai wake, bali yeye anayezidharau njia zake atakufa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yeye aihifadhiye amri huihifadhi nafsi yake; Bali yeye asiyeziangalia njia zake atakufa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Anayeshika amri anasalimisha maisha yake; anayepuuza agizo atakufa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye ambaye hutii mafundisho huulinda uhai wake, bali yeye anayezidharau njia zake atakufa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye ambaye hutii mafundisho huulinda uhai wake, bali yeye anayezidharau njia zake atakufa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yeye aihifadhiye amri huihifadhi nafsi yake; Bali yeye asiyeziangalia njia zake atakufa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Anayeshika amri anasalimisha maisha yake; anayepuuza agizo atakufa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Aliangaliaye agizo la Mungu hujiangalia mwenyewe, lakini azibezaye njia zake hufa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yeye aihifadhiye amri huihifadhi nafsi yake; Bali yeye asiyeziangalia njia zake atakufa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anayeshika amri analinda maisha yake; anayezarau agizo atakufa.