Proverbs 19:2 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Haifai mtu kuwa bila akili; mwenda harakaharaka hujikwaa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sio vizuri kuwa na juhudi bila maarifa, wala kufanya haraka na kuikosa njia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena si vizuri nafsi ya mtu ikose maarifa; Naye afanyaye haraka kwa miguu hutenda dhambi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Haifai mtu kuwa bila akili; mwenda harakaharaka hujikwaa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sio vizuri kuwa na juhudi bila maarifa, wala kufanya haraka na kuikosa njia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sio vizuri kuwa na juhudi bila maarifa, wala kufanya haraka na kuikosa njia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena si vizuri nafsi ya mtu ikose maarifa; Naye afanyaye haraka kwa miguu hutenda dhambi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Haifai mtu kuwa bila akili; mwenda harakaharaka hujikwaa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Roho ikosayo ujuzi siyo njema, naye mwenye haraka ya kupiga mbio kwa miguu hukosa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena si vizuri nafsi ya mtu ikose maarifa; Naye afanyaye haraka kwa miguu hutenda dhambi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Haifai mutu kuwa bila akili; mwenda harakaharaka anajikwaa.