Proverbs 19:5 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Shahidi mwongo hataacha kuadhibiwa; asemaye uongo hataepa adhabu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Shahidi wa uongo hataacha kuadhibiwa, naye amwagaye uongo hataachwa huru.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Wala asemaye uongo hataokoka.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Shahidi mwongo hataacha kuadhibiwa; asemaye uongo hataepa adhabu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Shahidi wa uongo hataacha kuadhibiwa, naye amwagaye uongo hataachwa huru.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Shahidi wa uongo hataacha kuadhibiwa, naye amwagaye uongo hataachwa huru.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Wala asemaye uongo hataokoka.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Shahidi mwongo hataacha kuadhibiwa; asemaye uongo hataepa adhabu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Shahidi ya uwongo hana budi kupatilizwa, asemaye na kuongopa haponi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Wala asemaye uongo hataokoka.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mushuhuda mwongo hatakosa kuazibiwa; anayesema uongo hataepuka azabu.