Proverbs 2:1 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwanangu, ukiyakubali maneno yangu, na kuyathamini maagizo yangu;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwanangu, kama utayakubali maneno yangu na kuyaweka akiba maagizo yangu ndani mwako,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwanangu, kama ukiyakubali maneno yangu, Na kuyaweka akiba maagizo yangu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwanangu, ukiyakubali maneno yangu, na kuyathamini maagizo yangu;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mwanangu, kama utayakubali maneno yangu na kuyaweka akiba maagizo yangu ndani mwako,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mwanangu, kama utayakubali maneno yangu na kuyaweka akiba maagizo yangu ndani mwako,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwanangu, kama ukiyakubali maneno yangu, Na kuyaweka akiba maagizo yangu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwanangu, ukiyakubali maneno yangu, na kuyathamini maagizo yangu;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
*Mwanangu, ukiyapokea maneno yangu na kuyashika maagizo yangu moyoni mwako,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwanangu, kama ukiyakubali maneno yangu, Na kuyaweka akiba maagizo yangu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwana wangu, ukikubali maneno yangu, na kushika maagizo yangu,