Proverbs 2:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana hekima itaingia moyoni mwako, na maarifa yataipendeza nafsi yako.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana hekima itaingia moyoni mwako, nayo maarifa yataifurahisha nafsi yako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana hekima itaingia moyoni mwako, Na maarifa yatakupendeza nafsi yako;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana hekima itaingia moyoni mwako, na maarifa yataipendeza nafsi yako.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana hekima itaingia moyoni mwako, nayo maarifa yataifurahisha nafsi yako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana hekima itaingia moyoni mwako, nayo maarifa yataifurahisha nafsi yako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana hekima itaingia moyoni mwako, Na maarifa yatakupendeza nafsi yako;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana hekima itaingia moyoni mwako, na maarifa yataipendeza nafsi yako.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kwani werevu wa kweli utaingia moyoni mwako, nao ujuzi utaupendeza roho yako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana hekima itaingia moyoni mwako, Na maarifa yatakupendeza nafsi yako;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maana hekima itaingia ndani ya moyo wako, na maarifa yatapendeza nafsi yako.