Proverbs 2:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
vitakuepusha na njia ya uovu, na watu wa maneno mapotovu;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu, kutoka kwa watu ambao maneno yao yamepotoka,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ili kukuokoa na njia ya uovu, Na watu wanenao yaliyopotoka;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
vitakuepusha na njia ya uovu, na watu wa maneno mapotovu;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hekima itakuokoa kutoka katika njia za waovu, kutoka watu ambao maneno yao yamepotoka,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu, kutoka kwa watu ambao maneno yao yamepotoka,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ili kukuokoa na njia ya uovu, Na watu wanenao yaliyopotoka;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
vitakuepusha na njia ya uovu, na watu wa maneno mapotovu;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
yakuponye, usiishike njia ya wabaya, usiwafuate watu wasemao mapotovu,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ili kukuokoa na njia ya uovu, Na watu wanenao yaliyopotoka;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
vitakuepusha na njia ya uovu, na watu wa maneno mapotovu,