Proverbs 2:13 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
watu waziachao njia nyofu, ili kuziendea njia za giza;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
wale wanaoacha mapito ya unyoofu, wakatembea katika njia za giza,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Watu waziachao njia za unyofu, Ili kuziendea njia za giza;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
watu waziachao njia nyofu, ili kuziendea njia za giza;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
wale waachao mapito yaliyonyooka wakatembea katika njia za giza,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
wale waachao mapito yaliyonyooka wakatembea katika njia za giza,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Watu waziachao njia za unyofu, Ili kuziendea njia za giza;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
watu waziachao njia nyofu, ili kuziendea njia za giza;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
walioziacha njia zinyokazo, waende katika njia zenye giza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Watu waziachao njia za unyofu, Ili kuziendea njia za giza;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
watu wanaoacha njia zenye kunyooka kwa kufuata njia za giza,