Proverbs 2:17 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
mwanamke amwachaye mwenzi wa ujana wake, na kulisahau agano la Mungu wake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
aliyemwacha mwenzi wa ujana wake na kupuuza agano alilofanya mbele ya Mungu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Amwachaye rafiki wa ujana wake, Na kulisahau agano la Mungu wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
mwanamke amwachaye mwenzi wa ujana wake, na kulisahau agano la Mungu wake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
aliyemwacha mwenzi wa ujana wake na kupuuza agano alilofanya mbele ya Mungu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
aliyemwacha mwenzi wa ujana wake na kupuuza agano alilofanya mbele ya Mungu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Amwachaye rafiki wa ujana wake, Na kulisahau agano la Mungu wake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
mwanamke amwachaye mwenzi wa ujana wake, na kulisahau agano la Mungu wake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kwa kuwa alimwacha mpendwa wa ujana wake na kulisahau agano la Mungu wake,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Amwachaye rafiki wa ujana wake, Na kulisahau agano la Mungu wake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
mwanamuke anayemwacha mwenzake wa ujana wake, na kusahau agano la Mungu wake.