Proverbs 2:21 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana wanyofu wataipata nchi, na waaminifu watadumu ndani yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana wanyofu wataishi katika nchi, nao wasio na lawama watabakia ndani yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana wanyofu watakaa katika nchi, Na wakamilifu watadumu ndani yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana wanyofu wataipata nchi, na waaminifu watadumu ndani yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana wanyofu wataishi katika nchi, nao wasio na lawama watabakia ndani yake,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana wanyofu wataishi katika nchi, nao wasio na lawama watabakia ndani yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana wanyofu watakaa katika nchi, Na wakamilifu watadumu ndani yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana wanyofu wataipata nchi, na waaminifu watadumu ndani yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani wanyokao ndio watakaokaa katika nchi, nao wamchao Mungu watasazwa huku;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana wanyofu watakaa katika nchi, Na wakamilifu watadumu ndani yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maana watu wa usawa watarizi inchi, na watu wakamilifu watadumu ndani yake.