Proverbs 20:1 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Divai huleta dhihaka na kileo huleta ugomvi; yeyote anayevutiwa navyo hana hekima.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mvinyo ni mdhihaki na kileo ni mgomvi; yeyote apotoshwaye navyo hana hekima.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mvinyo hudhihaki, kileo huleta ugomvi; Na akosaye kwa vitu hivyo hana hekima.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Divai huleta dhihaka na kileo huleta ugomvi; yeyote anayevutiwa navyo hana hekima.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mvinyo ni mdhihaki na kileo ni mgomvi; ye yote apotoshwaye navyo hana hekima.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mvinyo ni mdhihaki na kileo ni mgomvi; yeyote apotoshwaye navyo hana hekima.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mvinyo hudhihaki, kileo huleta ugomvi; Na akosaye kwa vitu hivyo hana hekima.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Divai huleta dhihaka na kileo huleta ugomvi; yeyote anayevutiwa navyo hana hekima.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mvinyo ni mfyozaji, nacho kileo huleta makelele, kila atokaye hapo na kupepesuka hakuerevuka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mvinyo hudhihaki, kileo huleta ugomvi; Na akosaye kwa vitu hivyo hana hekima.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Divai inaleta mazarau na kileo kinaleta ugomvi; yeyote anayevutwa navyo hana hekima.