Proverbs 20:13 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Usipende kulala tu usije ukawa maskini; uwe macho nawe utakuwa na chakula kingi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Usiupende usingizi la sivyo utakuwa maskini, uwe macho nawe utakuwa na chakula cha akiba.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Usipende usingizi usije ukawa maskini; Fumbua macho yako nawe utashiba chakula.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Usipende kulala tu usije ukawa maskini; uwe macho nawe utakuwa na chakula kingi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Usiupende usingizi la sivyo utakuwa maskini, uwe macho nawe utakuwa na chakula cha akiba.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Usiupende usingizi la sivyo utakuwa maskini, uwe macho nawe utakuwa na chakula cha akiba.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Usipende usingizi usije ukawa maskini; Fumbua macho yako nawe utashiba chakula.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Usipende kulala tu usije ukawa maskini; uwe macho nawe utakuwa na chakula kingi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Usiupende usingizi, usije kuwa mkosefu! Yafumbue macho yako! Ndipo, utakaposhiba chakula.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Usipende usingizi usije ukawa maskini; Fumbua macho yako nawe utashiba chakula.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Usipende usingizi usikuje kuwa masikini; ukuwe macho nawe utakuwa na chakula kingi.