Proverbs 20:14 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Hakifai, hakifai”, mnunuzi hulalamika, lakini akiondoka hujisifu amepunguziwa bei.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Haifai, haifai!” asema mnunuzi, kisha huondoka akijisifia ununuzi wake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Haifai kitu, haifai kitu, asema mnunuzi; Lakini akiisha kwenda zake hujisifu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Hakifai, hakifai”, mnunuzi hulalamika, lakini akiondoka hujisifu amepunguziwa bei.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Haifai, haifai!” asema mnunuzi, kisha huondoka akijisifia ununuzi wake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Haifai, haifai!” asema mnunuzi, kisha huondoka akijisifia ununuzi wake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Haifai kitu, haifai kitu, asema mnunuzi; Lakini akiisha kwenda zake hujisifu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Hakifai, hakifai”, mnunuzi hulalamika, lakini akiondoka hujisifu amepunguziwa bei.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mnunuzi husema: Ni kibaya, ni kibaya, lakini akiisha kwenda zake hujichekea.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Haifai kitu, haifai kitu, asema mnunuzi; Lakini akiisha kwenda zake hujisifu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mununuzi analalamika: “Hakifai, hakifai,” lakini akiondoka anajisifu amepunguziwa bei.