Proverbs 20:17 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Chakula kipatikanacho kwa udanganyifu ni kitamu, lakini baadaye huwa kama mchanga kinywani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Chakula kilichopatikana kwa hila ni kitamu kwa mwanadamu, bali huishia na kinywa kilichojaa changarawe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Chakula cha uongo ni kitamu kwa mtu; Lakini halafu kinywa chake kitajaa changarawe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Chakula kipatikanacho kwa udanganyifu ni kitamu, lakini baadaye huwa kama mchanga kinywani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Chakula kilichopatikana kwa hila ni kitamu kwa mwanadamu, bali huishia na kinywa kilichojaa changarawe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Chakula kilichopatikana kwa hila ni kitamu kwa mwanadamu, bali huishia na kinywa kilichojaa changarawe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Chakula cha uongo ni kitamu kwa mtu; Lakini halafu kinywa chake kitajaa changarawe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Chakula kipatikanacho kwa udanganyifu ni kitamu, lakini baadaye huwa kama mchanga kinywani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Vilaji vilivyopatwa kwa udanganyifu mtu huviona kuwa vitamu, lakini mwisho kinywa chake hujaa vijiwe vya changarawe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Chakula cha uongo ni kitamu kwa mtu; Lakini halafu kinywa chake kitajaa changarawe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Chakula kinachopatikana kwa udanganyifu ni kitamu, lakini nyuma kinakuwa kama muchanga ndani ya kinywa.