Proverbs 20:26 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mfalme mwenye busara huwapepeta waovu; huwaadhibu bila huruma.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mfalme mwenye hekima hupepeta waovu, hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mfalme mwenye hekima huwapepeta wasio haki; Naye hulipitisha gurudumo la kupuria juu yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mfalme mwenye busara huwapepeta waovu; huwaadhibu bila huruma.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mfalme mwenye hekima hupepeta waovu, hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mfalme mwenye hekima hupepeta waovu, hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mfalme mwenye hekima huwapepeta wasio haki; Naye hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mfalme mwenye busara huwapepeta waovu; huwaadhibu bila huruma.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mfalme mwerevu wa kweli huwapepeta wasiomcha Mungu, akipitisha juu yao gari la kupuria.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mfalme mwenye hekima huwapepeta wasio haki; Naye hulipitisha gurudumo la kupuria juu yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mufalme mwenye hekima anapepeta waovu; anawaazibu bila huruma.