Proverbs 20:28 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wema na uaminifu humkinga mfalme; utawala wake huimarishwa kwa uadilifu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Upendo na uaminifu humweka mfalme salama; kiti chake cha ufalme huwa salama kwa upendo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Fadhili na uaminifu humhifadhi mfalme, Na kiti chake cha enzi huthibitishwa kwa fadhili.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wema na uaminifu humkinga mfalme; utawala wake huimarishwa kwa uadilifu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Upendo na uaminifu humweka mfalme salama, kwa njia ya upendo, kiti chake cha enzi huwa salama.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Upendo na uaminifu humweka mfalme salama, kwa njia ya upendo, kiti chake cha enzi huwa salama.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Fadhili na uaminifu humhifadhi mfalme, Na kiti chake cha enzi huthibitishwa kwa fadhili.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wema na uaminifu humkinga mfalme; utawala wake huimarishwa kwa uadilifu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Upole na welekevu humlinda mfalme, naye hukishikiza kiti chake cha kifalme kwa upole.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Fadhili na uaminifu humhifadhi mfalme, Na kiti chake cha enzi huthibitishwa kwa fadhili.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wema na uaminifu unamukinga mufalme; utawala wake unaimarishwa kwa haki.