Proverbs 20:3 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ni jambo la heshima kuepa ugomvi; wapumbavu ndio wanaogombana.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ni kwa heshima ya mtu kujitenga ugomvi, bali kila mpumbavu ni mwepesi kugombana.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtu kujitenga na ugomvi ni heshima kwake; Bali kila mpumbavu ataka kugombana.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ni jambo la heshima kuepa ugomvi; wapumbavu ndio wanaogombana.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ni kwa heshima ya mtu kujitenga ugomvi, bali kila mpumbavu ni mwepesi kugombana.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ni kwa heshima ya mtu kujitenga ugomvi, bali kila mpumbavu ni mwepesi kugombana.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtu kujitenga na ugomvi ni heshima kwake; Bali kila mpumbavu ataka kugombana.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ni jambo la heshima kuepa ugomvi; wapumbavu ndio wanaogombana.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu ajitengaye penye ugomvi huheshimiwa, lakini kila mjinga hukenua meno.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtu kujitenga na ugomvi ni heshima kwake; Bali kila mpumbavu ataka kugombana.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ni jambo la heshima kuepuka ugomvi; wapumbafu ndio wanaogombana.