Proverbs 20:30 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mapigo yanayoumiza ni dawa ya kuondoa uovu; viboko husafisha nafsi mpaka ndani kabisa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mapigo na majeraha huusafisha ubaya, nayo michapo hutakasa utu wa ndani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Machubuko ya fimbo husafisha uovu, Na mapigo hufikilia ndani ya mtima.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mapigo yanayoumiza ni dawa ya kuondoa uovu; viboko husafisha nafsi mpaka ndani kabisa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mapigo na majeraha huusafisha ubaya, nayo michapo hutakasa utu wa ndani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mapigo na majeraha huusafisha ubaya, nayo michapo hutakasa utu wa ndani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Machubuko ya fimbo husafisha uovu, Na mapigo hufikia ndani ya mtima.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mapigo yanayoumiza ni dawa ya kuondoa uovu; viboko husafisha nafsi mpaka ndani kabisa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mavilio yenye vidonda humtakasa mtu, mabaya yamtoke, ijapo mapigo yaingie mpaka tumboni ndani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Machubuko ya fimbo husafisha uovu, Na mapigo hufikilia ndani ya mtima.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mapigo yanayoumiza ni dawa ya kuondoa uovu; fimbo inasafisha nafsi mpaka ndani kabisa.