Proverbs 20:4 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mvivu halimi wakati wa kulima; wakati wa mavuno atatafuta asipate chochote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mvivu halimi kwa majira; kwa hiyo wakati wa mavuno hutazama lakini hapati chochote.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtu mvivu hataki kulima wakati wa baridi; Hivyo wakati wa mavuno ataomba, hana kitu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mvivu halimi wakati wa kulima; wakati wa mavuno atatafuta asipate chochote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mvivu halimi kwa majira; kwa hiyo wakati wa mavuno hutazama lakini hapati cho chote.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mvivu halimi kwa majira; kwa hiyo wakati wa mavuno hutazama lakini hapati chochote.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtu mvivu hataki kulima wakati wa baridi; Hivyo wakati wa mavuno ataomba, hana kitu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mvivu halimi wakati wa kulima; wakati wa mavuno atatafuta asipate chochote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mvivu hataki kulima tangu hapo, kipupwe kinapoanza, tena akitafuta vilaji mavunoni, haviko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtu mvivu hataki kulima wakati wa baridi; Hivyo wakati wa mavuno ataomba, hana kitu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Muvivu halimi wakati wa kulima; wakati wa mavuno atatafuta lakini hatapata kitu.