Proverbs 20:5 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Fikira za mtu zimefichika kama kilindi cha maji; lakini mtu mwenye busara ajua kuzichota humo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Makusudi ya moyo wa mwanadamu ni maji yenye kina, lakini mtu mwenye ufahamu huyachota.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mashauri ya moyoni ni kama kilindi; Lakini mtu mwenye ufahamu atayateka.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Fikira za mtu zimefichika kama kilindi cha maji; lakini mtu mwenye busara ajua kuzichota humo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Makusudi ya moyo wa mwanadamu ni maji yenye kina, lakini mtu mwenye ufahamu huyachota.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Makusudi ya moyo wa mwanadamu ni maji yenye kina, lakini mtu mwenye ufahamu huyachota.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mashauri ya moyoni ni kama kilindi; Lakini mtu mwenye ufahamu atayateka.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Fikira za mtu zimefichika kama kilindi cha maji; lakini mtu mwenye busara ajua kuzichota humo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Maji yenye lindi ni mashauri yaliyomo noyoni mwa mtu, lakini mtu mtambuzi hujua kuyateka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mashauri ya moyoni ni kama kilindi; Lakini mtu mwenye ufahamu atayateka.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mafikiri ya mutu ndani ya moyo wake ni kama kilindi cha maji; lakini mutu mwenye akili anajua kuyachota mule.