Proverbs 20:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu wengi hujivunia kuwa wema, lakini mwaminifu wa kweli apatikana wapi?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watu wengi hujidai kuwa na upendo usiokoma, bali mtu mwaminifu ni nani awezaye kumpata?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wanadamu hutangaza kila mtu hisani yake mwenyewe; Bali mtu aliye mwaminifu, ni nani awezaye kumpata?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu wengi hujivunia kuwa wema, lakini mwaminifu wa kweli apatikana wapi?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watu wengi hujidai kuwa na upendo usiokoma, bali mtu mwaminifu ni nani awezaye kumpata?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watu wengi hujidai kuwa na upendo usiokoma, bali mtu mwaminifu ni nani awezaye kumpata?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wanadamu hutangaza kila mtu hisani yake mwenyewe; Bali mtu aliye mwaminifu, ni nani awezaye kumpata?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu wengi hujivunia kuwa wema, lakini mwaminifu wa kweli apatikana wapi?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Watu wengi hutangaza, ila mtu akizikuza huruma zake yeye, lakini aonaye mtu mwenye welekevu wa kweli yuko nani?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wanadamu hutangaza kila mtu hisani yake mwenyewe; Bali mtu aliye mwaminifu, ni nani awezaye kumpata?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu wengi wanajivunia kuwa wema, lakini mwaminifu wa kweli anapatikana wapi?