Proverbs 20:7 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu mwadilifu akiishi kwa unyofu; watoto wake atakaowaacha watabarikiwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mwenye haki huishi maisha yasiyo na lawama, wamebarikiwa watoto wake baada yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwenye haki aendaye katika unyofu wake, Watoto wake wabarikiwa baada yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu mwadilifu akiishi kwa unyofu; watoto wake atakaowaacha watabarikiwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mwenye haki huishi maisha yasiyo na lawama, wamebarikiwa watoto wake baada yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mwenye haki huishi maisha yasiyo na lawama, wamebarikiwa watoto wake baada yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwenye haki aendaye katika unyofu wake, Watoto wake wabarikiwa baada yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu mwadilifu akiishi kwa unyofu; watoto wake atakaowaacha watabarikiwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Aishikaye njia yake pasipo kukosa ni mwongofu, wanawe wamfuatao nyuma ndio wenye shangwe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwenye haki aendaye katika unyofu wake, Watoto wake wabarikiwa baada yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Heri watoto wa mutu wa haki mwenye mwenendo mukamilifu!