Proverbs 20:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mfalme mwema aketipo kutoa hukumu, huupepeta uovu wote kwa macho yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mfalme anapoketi kwenye kiti chake cha ufalme kuhukumu, hupepeta ubaya wote kwa macho yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mfalme aketiye katika kiti cha hukumu, Huyapepeta mabaya yote kwa macho yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mfalme mwema aketipo kutoa hukumu, huupepeta uovu wote kwa macho yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakati mfalme aketipo katika kiti chake cha enzi kuhukumu, hupepeta ubaya wote kwa macho yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakati mfalme aketipo katika kiti chake cha enzi kuhukumu, hupepeta ubaya wote kwa macho yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mfalme aketiye katika kiti cha hukumu, Huyapepeta mabaya yote kwa macho yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mfalme mwema aketipo kutoa hukumu, huupepeta uovu wote kwa macho yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mfalme akaaye katika kiti chake cha kukatia mashauri huyatawanya kwa macho yake mabaya yote.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mfalme aketiye katika kiti cha hukumu, Huyapepeta mabaya yote kwa macho yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mufalme anapoikaa kwa kutoa hukumu, anapepeta uovu wote kwa macho yake.