Proverbs 20:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nani athubutuye kusema: “Nimeutakasa moyo wangu; mimi nimetakasika dhambi yangu?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo wangu safi; mimi ni safi na sina dhambi?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nani awezaye kusema, Nimesafisha moyo wangu; Nimetakasika dhambi yangu?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nani athubutuye kusema: “Nimeutakasa moyo wangu; mimi nimetakasika dhambi yangu?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo wangu safi; mimi ni safi na sina dhambi?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo wangu safi; mimi ni safi na sina dhambi?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nani awezaye kusema, Nimesafisha moyo wangu; Nimetakasika dhambi yangu?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nani athubutuye kusema: “Nimeutakasa moyo wangu; mimi nimetakasika dhambi yangu?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yuko nani awezaye kusema: Nimeung'aza moyo wangu? Nimetakata, makosa yangu yamekwisha kuondoka?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nani awezaye kusema, Nimesafisha moyo wangu; Nimetakasika dhambi yangu?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nani anayesubutu kusema: “Nimetakasa moyo wangu; mimi nimetakasika na zambi yangu?”