Proverbs 21:18 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwovu atapata pigo ambalo halitampata mtu mwema, mkosefu ataadhibiwa badala ya mnyofu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Waovu huwa fidia kwa ajili ya wenye haki, nao wasio waaminifu kwa ajili ya wanyofu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtu asiye haki ni fidia ya wenye haki; Naye afanyaye hila ni badala ya watu wa adili.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwovu atapata pigo ambalo halitampata mtu mwema, mkosefu ataadhibiwa badala ya mnyofu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Waovu huwa fidia kwa ajili ya wenye haki, nao wasio waaminifu kwa ajili ya wanyofu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Waovu huwa fidia kwa ajili ya wenye haki, nao wasio waaminifu kwa ajili ya wanyofu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtu asiye haki ni fidia ya wenye haki; Naye afanyaye hila ni badala ya watu wa adili.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwovu atapata pigo ambalo halitampata mtu mwema, mkosefu ataadhibiwa badala ya mnyofu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Asiyemcha Mungu hana budi kumkomboa mwongofu, naye avunjaye agano hulipa mahali pao wanyokao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtu asiye haki ni fidia ya wenye haki; Naye afanyaye hila ni badala ya watu wa adili.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwovu atakuwa malipo kwa ukombozi wa wenye haki; nao wasiokuwa waaminifu kwa pahali pa watu wa usawa.