Proverbs 21:20 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nyumbani kwa mwenye busara mna hazina za thamani, lakini mpumbavu huponda mali yake yote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Katika nyumba ya mwenye hekima kuna akiba ya vyakula vizuri na mafuta, lakini mtu mpumbavu hutafuna vyote alivyo navyo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kuna hazina ya thamani na mafuta katika maskani ya mwenye hekima; Bali mwanadamu aliye mpumbavu huyameza.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nyumbani kwa mwenye busara mna hazina za thamani, lakini mpumbavu huponda mali yake yote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Katika nyumba ya mwenye hekima kuna akiba ya vyakula vizuri na mafuta, lakini mtu mpumbavu hutafuna vyote alivyo navyo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Katika nyumba ya mwenye hekima kuna akiba ya vyakula vizuri na mafuta, lakini mtu mpumbavu hutafuna vyote alivyo navyo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kuna hazina ya thamani na mafuta katika maskani ya mwenye hekima; Bali mwanadamu aliye mpumbavu huyameza.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nyumbani kwa mwenye busara mna hazina za thamani, lakini mpumbavu huponda mali yake yote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Limbiko lipendezalo na mafuta yamo katika makao ya werevu wa kweli, lakini mtu mjinga huyameza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kuna hazina ya thamani na mafuta katika maskani ya mwenye hekima; Bali mwanadamu aliye mpumbavu huyameza.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Katika nyumba ya mwenye hekima kuna hazina za bei kali, lakini mupumbafu anaponda mali yake yote.