Proverbs 21:24 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwenye majivuno na kiburi jina lake ni “Madharau;” matendo yake yamejaa majivuno ya ufidhuli wake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mwenye kiburi na majivuno, “Mdhihaki” ndilo jina lake; hutenda mambo kwa kiburi kilichozidi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwenye kiburi na kutakabari, jina lake ni mbishi; Hutenda mambo katika majivuno ya kiburi chake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwenye majivuno na kiburi jina lake ni “Madharau”; matendo yake yamejaa majivuno ya ufidhuli wake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mwenye kiburi na majivuno, “Mdhihaki” ndilo jina lake; hutenda mambo kwa kiburi kilichozidi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mwenye kiburi na majivuno, “Mdhihaki” ndilo jina lake; hutenda mambo kwa kiburi kilichozidi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwenye kiburi na kutakabari, jina lake ni mbishi; Hutenda mambo katika majivuno ya kiburi chake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwenye majivuno na kiburi jina lake ni “Madharau;” matendo yake yamejaa majivuno ya ufidhuli wake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu ajitutumuaye kwa majivuno, aitwaye mfyozaji hufanya mambo, anayofundishwa na majivuno yake yafurikayo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwenye kiburi na kutakabari, jina lake ni mbishi; Hutenda mambo katika majivuno ya kiburi chake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwenye kiburi na majivuno jina lake ni “Mazarau”; anatenda kwa kujivuna tu.