Proverbs 21:25 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mvivu hufa kwa kutotimizwa tamaa zake, maana mikono yake milegevu haitaki kufanya kazi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kutamani sana kwa mvivu kutakuwa kifo chake, kwa sababu mikono yake haitaki kufanya kazi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Matakwa yake mtu mvivu humfisha, Kwa maana mikono yake hukataa kufanya kazi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mvivu hufa kwa kutotimizwa tamaa zake, maana mikono yake milegevu haitaki kufanya kazi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kutamani sana kwa mvivu kutakuwa kifo chake, kwa sababu mikono yake haitaki kufanya kazi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kutamani sana kwa mvivu kutakuwa kifo chake, kwa sababu mikono yake haitaki kufanya kazi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Matakwa yake mtu mvivu humwua, Kwa maana mikono yake hukataa kufanya kazi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mvivu hufa kwa kutotimizwa tamaa zake, maana mikono yake milegevu haitaki kufanya kazi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tamaa za mvivu humwua, kwa kuwa mikono yake hukataa kufanya kazi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Matakwa yake mtu mvivu humfisha, Kwa maana mikono yake hukataa kufanya kazi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Muvivu anakufa kwa kutokutimizwa kwa tamaa zake, maana mikono yake haitaki kufanya kazi.