Proverbs 21:26 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mchana kutwa mwovu hutamani kupata kitu, lakini mwadilifu hutoa, tena kwa ukarimu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mchana kutwa hutamani zaidi, lakini mnyofu hutoa pasipo kuzuia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kuna atamaniye kwa choyo mchana kutwa; Bali mwenye haki hutoa wala hanyimi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mchana kutwa mwovu hutamani kupata kitu, lakini mwadilifu hutoa, tena kwa ukarimu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mchana kutwa hutamani zaidi, lakini mnyofu hutoa pasipo kuzuia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mchana kutwa hutamani zaidi, lakini mnyofu hutoa pasipo kuzuia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kuna atamaniye kwa choyo mchana kutwa; Bali mwenye haki hutoa wala hanyimi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mchana kutwa mwovu hutamani kupata kitu, lakini mwadilifu hutoa, tena kwa ukarimu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kila siku yako yanayotamaniwa kwa tamaa, lakini mwongofu hutoa mali, hawanyimi wamwombao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kuna atamaniye kwa choyo mchana kutwa; Bali mwenye haki hutoa wala hanyimi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Muchana kutwa mwovu anatamani kupata kitu, lakini mwenye haki anatoa, tena bila mipaka.